Sunday, February 23, 2014

Wanafamilia nchini wafundwa kuhusu UKIMWI

Kamishna wa TACAIDS Sheikh Hassan Kiburwa akipima VVU katika banda la upimaji lililosimamiwa na AMREF wakati wa siku ya  familia ya wafanyakasi wa Tume jana IMEELEZWA kwamba asilimia nane ya wanandoa wanaoishi na virusi vya UKIMWI (VVU) ni ile mwenzi mmoja kuwa na maambukizi wakati mwingine...

Thursday, February 20, 2014

MSD yatoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu utaratibu wa manunuzi ndani ya bohari ya dawa

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Cosmas Mwaifwani (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam, wakati akitoa taarifa kwa Umma kuhusu utaratibu wa manunuzi ndani ya bohari ya dawa. Kulia ni Mkurugenzi wa Manunuzi wa MSD, Heri Mchunga na Mwanasheria,...

Monday, February 10, 2014

Kizimbani kwa tuhuma za kusambaza ARV feki

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha Tanzania Pharmaceutical Industries Limited (TPI), Ramadhani Madabida (kulia) na Ofisa Ubora wa Bidhaa wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD), Evance Mwemezi walipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana kusomewa mashtaka ya kuuza na kusambaza dawa...

Saturday, February 8, 2014

Avoid Diversions: Acha Michepuko--Sio Dili

Baki Njii Kuu, Michepuko katika ndoa haifai: avoid diversion, avoid HIV infections! Bravo PSI The challenge ahead of us is to avoid diversions in our wedlock. Most of us have failed to concentrate with main roads (our partners--being wife or husband). It is common to see a married man sneaking out...