Tuesday, August 27, 2013

Ufafanuzi kuhusu wafadhili kujitoa kufadhili shughuli za UKIMWI Tanzania

Dk. Mrisho (aliyeketi) akibadilishana mawazo na akina mama walio katika mapambano dhidi ya UKIMWI na VVU huko Kisarawe hivi karibuni Tume ya kudhibiti UKIMWI (TACAIDS) – Tanzania imepata taarifa kutoka kwenye vyombo  vya habari kwamba wahisani wa shughuli za UKIMWI kujitoa kufadhili shughuli...

Friday, August 23, 2013

AIDS fight in Tanzania under siege as donors pull out

Dr Mrisho in a group photo with the Kisarawe Community in the fight against HIV and AIDS Minaki High School students when hosted TACAIDS officials last week TANZANIA is likely to experience a serious retardation motion in the fight against HIV and AIDS should a vividly pull out of long time donors...

Monday, August 19, 2013

Bagamoyo yaanza kujifadhili vita dhidi ya UKIMWI,VVU

Bi Albina, CHAC wa Bagamoyo akitoa taarifa ya hali ya UKIMWI wilayani humo kwa wajumbe wa TACAIDS waliotembelea Mkoa wa Pwani juzi Kamishna wa TACAIDS Dk.Rose Mwaipopo akitoa majumuisho ya ziara ya tume Wilayani Bagamoyo. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi wa Bagamoyo Bw. Erasto Mfugale na kulia kabisa...

Sunday, August 18, 2013

PWANI yataka takwimu sahihi za UKIMWI huku ikionya wapika takwimu

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bi Mahiza akiongea na ujumbe wa TACAIDS pamoja na watendaji wake kuhusu masuala ya UKIMWI na VVU Mwenyekiti Mtendaji wa TACAIDS Dk.Fatma Mrisho akimsikiliza kwa makini mkuu wa Mkoa wakati wa ziara ya tume mkoani Pwani wiki iliyopita Wajumbe wa TACAIDS wakiagwa...